Mipango 1,000 ya maendeleo kuanzishwa na UM Cote d'Ivoire
Shirika la UM juu ya Ulinzi Amani katika Cote d\'Ivoire (UNOCI) limeanzisha mradi mpya wa dola milioni 5 kuharakisha juhudi za kuwaunganisha kwenye huduma za jamii na maendeleo wale wapiganaji wa zamani walioshiriki kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini, pamoja na vijana waliokosa ajira.