Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafuriko Afrika Magharibi yahatarisha afya ya umma

Mafuriko Afrika Magharibi yahatarisha afya ya umma

Mataifa ya Benin, Burkina Faso, Niger, Mali na pia Mauritania na Togo yamekabiliwa, sasa hivi, na maafa ya mvua kali zinazobashiriwa kuendelea hadi mwezi Septemba na kuhatarisha afya za mamilioni ya watu wanaoishi kwenye maeno haya ya Afrika Magharibi.

Sikiliza taarifa zaidi kwenye idhaa ya mtandao.