Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapinduzi ya karibuni Mauritania yamelaaniwa na BU

Mapinduzi ya karibuni Mauritania yamelaaniwa na BU

Kwenye taarifa iliotolewa na Baraza la Usalama (BU) kufuatia mkutano wa hadhara Ijumanne kuzingatia hali Mauritania, wajumbe wa Baraza walishtumu vikali mapinduzi yaliofanyika na wanajeshi dhidi ya Serikali katika wiki za karibuni.