Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Fungamano za madhara ya mazingira na afya kuzingatiwa na mawaziri wa Afrika Gabon

Fungamano za madhara ya mazingira na afya kuzingatiwa na mawaziri wa Afrika Gabon

Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP), kwa ushirikiano na Serikali ya Gabon wametayarisha, kwa mara ya kwanza Mkutano wa Mawaziri juu ya Fungamano za Afya na Mazingira katika Afrika utakaofanyika wiki ijayo kwenye mji mkuu wa Libreville, Gabon kuanzia tarehe 26 hadi 29 Agosti (2008).