Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Misaada ya kiutu ina ugumu kufikishwa Ossetia Kusini, inasema OCHA

Misaada ya kiutu ina ugumu kufikishwa Ossetia Kusini, inasema OCHA

Mashirika mbalimbali ya UM yamethibitisha kwamba shughuli za kupeleka misaada ya kiutu katika Ossetia Kusini, kwa kupitia Georgia yenyewe, bado haziwezekani kuhudumiwa kwa sababu ya ukosefu wa maafikiano kati ya makundi yanayohasimiana kuruhusu misaada hiyo kufikishwa,bila vizingiti, katika Ossetia Kusini kwa kutumia barabara za Georgia. Elizabeth Byrs, Msemaji wa Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) aliwadokezea waandishi habari mjini Geneva juu ya tatizo hili:~