Mkutano wa kudhibiti saratani duniani waanza Geneva
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza leo Geneva, baada ya kufunguliwa mijadala ya siku mbili ya Mkutano Mkuu wa Dunia dhidi ya Saratani, ya kwamba ulimwengu unakabiliwa hivi sasa na tatizo la watu milioni 11 wanaougua maradhi ya saratani.