Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BU inashauriana tena kuhusu tatizo sugu la Georgia

BU inashauriana tena kuhusu tatizo sugu la Georgia

Baraza la Usalama la UM lilitarajiwa kukutana kwa mashauriano leo Alkhamisi kusailia hali katika Georgia kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Urusi wiki hii kuyatambua majimbo yaliojiengua ya Abkhazia na Ossetia Kusini. Kadhalika wajumbe wa Baraza la Usalama wanazingatia nakala ya awali ya maazimio mawili kuhusu Georgia. ~