Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

OHCHR imeshtumu utumiaji nguvu dhidi ya IDPs katika Darfur

OHCHR imeshtumu utumiaji nguvu dhidi ya IDPs katika Darfur

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu imetoa taarifa mjini Geneva Ijumaa ilioshtumu vikosi vya usalama vya Sudan kwa kutumia nguvu isiowiana na makosa yanayodaiwa kufanyika katika kambi ya wahamiaji wa ndani ya Kalma, katika Darfur.