29 Agosti 2008
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limearifu kujiunga na Wizara ya Afya ya Guinea-Bissau kupiga vita janga la kipindupindu liliozuka na kuenea kwa kasi nchini humo katika wiki za karibuni.
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limearifu kujiunga na Wizara ya Afya ya Guinea-Bissau kupiga vita janga la kipindupindu liliozuka na kuenea kwa kasi nchini humo katika wiki za karibuni.