Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukosefu wa usawa duniani unadhulumu umma afya bora, UM wabainisha

Ukosefu wa usawa duniani unadhulumu umma afya bora, UM wabainisha

Tume maalumu ya watu 13, iliojumlisha wataalamu, viongozi waliostaafu wa mataifa pamoja na mawaziri wa afya kwenye ripoti iliowasilishwa Alkhamisi waliafikiana, baada ya kuendeleza uchunguzi wa miaka mitatu, kwamba "ukosefu wa haki za kijamii ni tukio linalosababisha vifo vya watu ulimwenguni kwa kiwango kikubwa kabisa".

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.