Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM imewapatia watoto waathiriwa na utapiamlo Ethiopia chakula cha tiba

UM imewapatia watoto waathiriwa na utapiamlo Ethiopia chakula cha tiba

Mamia ya tani za Miranda Eeles, Msemaji wa Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo (UNICEF) ameripoti mbele ya waandishi habari Geneva, kama ifuatavyo, kwamba UM umetuma misaada ya chakula cha dharura Ethiopia kunusuru watoto waliokabiliwa na tatizo hatari la utapiamlo linalotokana na ukame:~~