Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kamati ya Mirathi ya Kimataifa yazingatia maeneo mapya ya urithi wa umma

Kamati ya Mirathi ya Kimataifa yazingatia maeneo mapya ya urithi wa umma

Kamati inayohusika na Orodha ya UNESCO juu ya Mirathi ya Dunia inakutana kwenye mji wa Quebec, Kanada kuanzia tareha 02 mpaka 10 Julai kuzingatia maeneo mapya ya kimataifa yanayohitajika kutambuliwa na kuingizwa kwenye Orodha ya Mirathi ya Umma wa Ulimwengu.