Kamati ya Mirathi ya Kimataifa yazingatia maeneo mapya ya urithi wa umma
Kamati inayohusika na Orodha ya UNESCO juu ya Mirathi ya Dunia inakutana kwenye mji wa Quebec, Kanada kuanzia tareha 02 mpaka 10 Julai kuzingatia maeneo mapya ya kimataifa yanayohitajika kutambuliwa na kuingizwa kwenye Orodha ya Mirathi ya Umma wa Ulimwengu.