Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNEP inasema uwekezaji wa nishati safi ulimwenguni ulikithiri 2007

UNEP inasema uwekezaji wa nishati safi ulimwenguni ulikithiri 2007

Achim Steiner, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP) ameripoti ya kuwepo uwekezaji mkubwa wa nishati zenye matumizi ya mara kwa mara katika sehemu mbalimbali za dunia, katika kipindi cha karibuni.