UM kuonya, rasilmali ya ardhi inaendelea kuchafuliwa, kwahitajika uangalizi bora
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limetangaza kwamba kutokana na utafiti wa miaka 20 imebainika kwamba mali ya asili ya ardhi, katika sehemu nyingi za dunia, inaendelea kuharibiwa na kuharibika kwa nguvu na kasi kubwa.