Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukombozi wa mateka 15 Colombia wapongezwa na KM

Ukombozi wa mateka 15 Colombia wapongezwa na KM

KM amepokea kwa ukunjufu mkuu taarifa ya Serikali ya Colombia kuwa imefanikiwa kuwaokoa mateka 15 walioshikwa na wanamgambo wa Jeshi la Mapinnduzi katika Colombia au FARC.