Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maeneo manane mapya kuingizwa kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia ya UNESCO

Maeneo manane mapya kuingizwa kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia ya UNESCO

Kamati ya Shirika la UM juu ya Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) inayokutana hivi sasa kwenye Mji wa Quebec, Kanada kuzingatia mirathi ya walimwengu, imeafikiana kuingiza maeneo kadha mapya ziada ya kihistoria kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia.