8 Julai 2008
Baraza la Usalama (BU) Ijumanne linazingatia masuala ya usalama na amani katika bara la Afrika. Suala liliopewa umbele zaidi ni lile linalohusu vurugu liliolivaa Zimbabwe hivi sasa.
Baraza la Usalama (BU) Ijumanne linazingatia masuala ya usalama na amani katika bara la Afrika. Suala liliopewa umbele zaidi ni lile linalohusu vurugu liliolivaa Zimbabwe hivi sasa.