Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ofisa wa ICC aelezea UA kesi za mahakama

Ofisa wa ICC aelezea UA kesi za mahakama

Fatou Bensouda, Naibu Mwendesha Mashitaka wa Mahakama ya Kimataifa juu ya Jinai ya Halaiki (ICC) ameripoti Ijumaa mbele ya Baraza la Usalama na Amani la Umoja wa Afrika (UA) mjini Addis Ababa, Ethiopia fafanuzi za mahakama kuhusu maendeleo kwenye zile kesi zenye kusimamiwa na taasisi yao, ikijumuisha pia zile kesi zinazofungamana na mzozo ulioselelea Darfur, Sudan. ~~