Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM unapinga lawama za upendeleo dhidi ya KM juu ya Zimbabwe

UM unapinga lawama za upendeleo dhidi ya KM juu ya Zimbabwe

Msemaji wa KM ametoa ripoti yenye kukanya shtumu za Mjumbe wa Kudumu wa Zimbabwe katika UM, Balozi Boniface G. Chidyausiku ambaye alishuku namna KM Ban Ki-moon alivyojihusisha, kwa tuhuma za upendeleo, kuunga mkono baadhi ya wahusika wa matukio yaliojiri karibuni Zimbabwe, madai ambayo Msemaji wa KM alisisitiza “hayakubaliki na yasiofaa”.