WFP inaomba ulinzi wa manowari kwa meli zinazobeba chakula kwa Usomali
Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakkula Duniani (WFP) imetangaza mjini London kuwa mashambulio yanayotukia Usomali dhidi ya wafanyakazai wa mashirika ya kimataifa yanayohudumia misaada ya kiutu ni mambo yanayohatarisha maisha ya mamilioni ya watu wenye kutegemea misaada ya chakula kutoka mashirika ya kimataifa.