Mpango wa SIT wa kupunguza malaria ulimwenguni unajadiliwa na IAEA
Shirika la UM juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Nyuklia Kimataifa (IAEA) limefanyika karibuni mkutano maalumu kwenye ofisi za UM Vienna, Austria kusailia udhibiti bora wa mbinu za kupandana za mbu dume, kwa makusudio ya kukomesha uzazi wa mayai ya mbu jike, kitendo ambacho kitatumiwa kupunguza maradhi maututi ya malaria ulimwenguni.