2 Juni 2008
Msemaji wa KM Ijumapili amearifu kwamba Ban Ki-moon amekaribisha, kwa moyo thabiti, uamuzi wa Israel kumwachia na kumrudisha Lebanon mfungwa mateka wakati wa mapigano ya 2006.
Msemaji wa KM Ijumapili amearifu kwamba Ban Ki-moon amekaribisha, kwa moyo thabiti, uamuzi wa Israel kumwachia na kumrudisha Lebanon mfungwa mateka wakati wa mapigano ya 2006.