Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Louise Arbour ahutubia mara ya mwisho Baraza la Haki za Binadamu Geneva

Louise Arbour ahutubia mara ya mwisho Baraza la Haki za Binadamu Geneva

Louise Arbour, Kamishna Mkuu wa UM Juu ya Haki za Binadamu Ijumatatu alihutubia mjini Geneva, kwa mara ya mwisho, Baraza la Haki za Binadamu kabla ya kustaafu. Alisema inatia moyo maenedeleo yaliopatikana kwenye juhudi za kuchunguza namna haki za binadamu zinavyotekelezwa miongoni mwa Mataifa Wanachama, hususan huduma za mapitio ya mara kwa mara.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.