Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM imeshtumu mauaji ya ukabila ya raia wa Nigeria katika Ukraine

UM imeshtumu mauaji ya ukabila ya raia wa Nigeria katika Ukraine

Jennifer Pagonis, Msemaji wa Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) Ijumanne aliripoti kwa waandishi habari mjini Geneva kuwa wamepokea taarifa zenye kuelezea mauaji ya raia mmoja wa Nigeria katika mji wa Kyiv, Ukraine, mnamo tarehe 29 Mei, mauaji ambayo UNHCR inaamini yalikuwa ya kikabila:~