Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukiukaji wa haki za binadamu pia huchochea njaa, kuonya Kamishna Mkuu

Ukiukaji wa haki za binadamu pia huchochea njaa, kuonya Kamishna Mkuu

Louise Arbour, Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu alisema kwamba mara nyingi ukiukaji wa haki za binadamu unaoendelezwa na baadhi ya serikali wanachama, huwa ndio vyanzo vya migogoro ya chakula ndani ya mataifa hali ambayo, baadaye, huzorotisha zile juhudi muhimu za kukidhi mahitaji ya chakula kwa umma. Risala ya Arbour iliwasilishwa mbele ya viongozi wa kimataifa pamoja na wawakilishi wa vyeo vya juu waliokusanyika Roma kwenye mkutano wa kusailia mzozo wa chakula duniani.~ ~