Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM unaadhimisha Siku ya Kuhifadhi Mazingira Duniani

UM unaadhimisha Siku ya Kuhifadhi Mazingira Duniani

Tarehe 05 Julai huadhimishwa kila mwaka na jamii ya kimataifa kuwa ni siku ya kukumbushana umuhimu wa hifadhi bora ya mazingira ulimwenguni. Muktadha wa mwaka huu kuiheshimu siku hiyo unatilia mkazo kwa umma wa kimataifa kujiepusha na vitendo vinavyotokana na utumiaji wa nishati yenye kutoa hewa chafu angani, ambayo huharibu mazingira ulimwenguni.