9 Juni 2008
Mkutano wa kurudisha amani Usomali uliofanyika Djibouti, na kusimamiwa na UM, umeripotiwa kumalizika karibuni bila ya maafikiano miongoni mwa yale makundi yaliohusika na mgogoro ulioselelea kieneo kwa miaka 18.
Mkutano wa kurudisha amani Usomali uliofanyika Djibouti, na kusimamiwa na UM, umeripotiwa kumalizika karibuni bila ya maafikiano miongoni mwa yale makundi yaliohusika na mgogoro ulioselelea kieneo kwa miaka 18.