Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ILO inapendekeza 'utandawazi unaohishimu haki za jamii'

ILO inapendekeza 'utandawazi unaohishimu haki za jamii'

Juan Somavia, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UM juu ya Haki za Wafanyakazi wa Kimataifa (ILO) ametoa mwito uitakayo jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura katika kukabiliana na athari haribifu zinazoletwa na "msawazisho wa shughuli za uchumi katika soko la kimataifa uliokosa haki za kijamii". Alitoa pendekezo hilo wiki hii kwenye ufunguzi wa Mkutano wa 97 wa ILO mjini Geneva.