Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM waadhimisha Siku ya Kupiga Vita Ajira ya Watoto Duniani

UM waadhimisha Siku ya Kupiga Vita Ajira ya Watoto Duniani

Tarehe 11 Juni huadhimishwa na UM kuwa ni Siku ya Kupiga Vita Duniani Ajira ya Watoto wa Umri Mdogo. Taadhima za mwaka huu zimedhamiria kuamsha hisia za umma wa kimataifa juu ya umuhimu wa kuwapatia watoto wa umri mdogo elimu ya msingi.