Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zimbabwe inahitajia huduma za kimataifa kukidhi mahitaji ya umma

Zimbabwe inahitajia huduma za kimataifa kukidhi mahitaji ya umma

John Holmes, Mkuu wa Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) Alkhamisi aliwaambia waandishi habari hapa Makao Makuu kwamba hali katika Zimbabwe inazidi kuharibika na anakhofia mavuno yajayo hayatomudu kukidhi mahitaji ya chakula kwa robo tatu ya watu nchini.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.