Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nambari maalumu ya simu yapendekezwa na ITU kuhifadhi watoto duniani

Nambari maalumu ya simu yapendekezwa na ITU kuhifadhi watoto duniani

Shirika la Kimataifa la Mawasiliano ya Simu (ITU) leo mjini Geneva, limetoa mwito uzitakayo Nchi Wanachama zote kuanza kutumia nambari maalumu ya simu, kwa makusudio ya kuhudumia watoto wanaohitajia misaada ya dharura, ya kihali au kijamii.