Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IAEA inaashiria kukithiri matumizi ya nishati ya nyuklia miaka ijayo

IAEA inaashiria kukithiri matumizi ya nishati ya nyuklia miaka ijayo

Yury Sokolov, Mkuu wa Idara inayohusika na Nishati ya Nyuklia na pia Naibu Mkurugenzi wa Shirika la UM juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Nyuklia (IAEA), amenakiliwa akiashiria kwamba itakapofika 2030 matumizi ya mitambo ya nishati ya nyuklia ulimwenguni itaongezeka kwa asilimia 60.