Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Udhalilishaji wa kijinsiya unazingatiwa na Baraza la Usalama

Udhalilishaji wa kijinsiya unazingatiwa na Baraza la Usalama

Baraza la Usalama chini ya uraisi wa Marekani kwa mwezi Juni, Alkhamisi linasailia na kujadilia suala la kukomesha vitendo karaha vya kunajisi wanawake kimabavu, kwenye mazingira ya uhasama na mapigano. Mwenyekiti wa kikao hiki cha hadhi ya juu ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Condoleezza Rice.