Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF kushtushwa na kukithiri kwa utekaji nyara wa watoto ulimwenguni

UNICEF kushtushwa na kukithiri kwa utekaji nyara wa watoto ulimwenguni

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limeripoti kushtushwa na muongezeko wa utekaji nyara na utoroshaji wa watoto wadogo vinavyofanywa na maharamia na wahalifu, hasa katika mataifa yaliopambwa na vurugu. Mara nyingi wakosaji hawa huendeleza jinai yao bila adhabu.

Sikiliza habari kamili kwenye idhaa ya mtandao.