Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wa haki za binadamu wanalaani kampeni ya kung'oa watu makwao kimabavu Zimbabwe

Wataalamu wa haki za binadamu wanalaani kampeni ya kung'oa watu makwao kimabavu Zimbabwe

Kadhalika, kundi la wataalamu maalumu wa Kamisheni ya UM juu ya Haki za Bindamau hii leo wamewasilisha ripoti ya shirika iliosisitiza kuingiwa na wahaka mkubwa na khofu juu ya hali na usalama wa watu 200,000 waliongo\'lewa mastakimu na makazi katika mji wa Harare na katika sehemu nyengine 29 nchini Zimbabwe.