Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM anajiandaa kuzuru Asia

KM anajiandaa kuzuru Asia

KM Ban Ki-moon anatarajiwa kuanza ziara ya siku 12 katika bara la Asia kuanzia kesho Ijumaa ambapo pia atahudhuria Mkutano Mkuu wa Mataifa Wanachama wa Kundi la G8 utakaofanyika Ujapani.