Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maradhi ya IDD yanahitajia msukumo ziada kunusuru akili watoto: UNICEF

Maradhi ya IDD yanahitajia msukumo ziada kunusuru akili watoto: UNICEF

Ripoti ya Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) kuhusu maradhi ya ukosefu wa iodine au maradhi ya IDD, imeeleza kupatikana mafanikio makubwa ulimwenguni kwenye huduma za afya za kukabiliana na ugonjwa huo kutokana na michango ya Serikali, jamii na viwanda vya chumvi.