Dokezo ya kikao cha kuzingatia haki za wenyeji wa asili
Kuanzia tarehe 21 Aprili wajumbe 3,000 ziada waliowakilisha zile jamii zijulikanazo kama wenyeji wa asili, kutoka katika kila pembe ya dunia, walikusanyika hapa Makao Makuu kuhudhuria kikao cha mwaka, cha saba ambacho KM wa UM Ban Ki-moon alikiita \'kikao cha kihistoria kilichofikia njia panda\'. Majadiliano ya mkutano wa wenyeji wa asili yalichukua wiki mbili, na yanatazamiwa kukamilishwa Ijumaa ya leo.
Sikiliza mahojiano kwenye idhaa ya mtandao.