Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Idadi ya wakimbizi wa mashua kwa Yemen imezidi mardufu

Idadi ya wakimbizi wa mashua kwa Yemen imezidi mardufu

UNHCR imeripoti kwamba idadi ya wahamiaji wanaotokea maeneo ya Pembe ya Afrika, na ambao huvushwa magendo katika Ghuba ya Aden na kupelekwa kwenye mwambao wa Yemen, imeongezeka kwa mara mbili zaidi kwa mwaka huu.