Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNEP imependekeza miti bilioni 7 ioteshwe duniani kuhifadhi mazingira

UNEP imependekeza miti bilioni 7 ioteshwe duniani kuhifadhi mazingira

Achim Steiner, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP) alipokutana na waandishi habari wa kimataifa hapa Makao Makuu Ijumanne, alitangaza kuanzishwa kampeni mpya iliokusudiwa kuuhamasisha umma wa kimataifa kupandisha miti bilioni 7 katika miezi 18 ijayo.