Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM bado wakabili vizingiti kwenye huduma za kiutu Myanmar

UM bado wakabili vizingiti kwenye huduma za kiutu Myanmar

UM umetangaza Ijumaa kwamba bado unakabiliwa na vizingiti kadha wa kadha katika shughuli zake za kugawa misaada ya kukidhia mahitaji ya kimsingi kwa raia wanaokadiriwa milioni 2.5, walioathirika kihali na mali, kutokana na Kimbunga Nargis kilichopiga nchini humo wiki mbili zilizopita.