Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM anafuatilia vurugu liliofumka dhidi ya wageni Johannesburg

KM anafuatilia vurugu liliofumka dhidi ya wageni Johannesburg

Msemaji wa KM, Michele Montas aliwaambia wanahabri kwamba KM Ban Ki-moon anafuatilia vurugu liliozuka Afrika Kusini karibuni ambapo watu wageni walihujumiwa na wenyeji katika eneo la Johannesburg, Afrika Kusini. Alisema ansikitishwa na mauaji yaliohusikana na tukio hili.