Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO imeonya, milioni 2.6 Usomali wakabiliwa na janga la njaa

FAO imeonya, milioni 2.6 Usomali wakabiliwa na janga la njaa

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limeripoti kwamba mazingira ya kiutu nchini Usomali yanaendelea kuharibika, kwa kasi isiovumilika na ya kutisha sana kwa sababu ya mambo matatu -