Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maziwa yaliofumwa na zilzala yanahatarisha maisha Sichuan

Maziwa yaliofumwa na zilzala yanahatarisha maisha Sichuan

UM umetangaza kuwa na wasiwasi kuhusu usalama wa wale raia wa Uchina wenye makazi kwenye nyanda za chini, katika jimbo la Sichuan, lilioathirika na zilzala iliopiga huko katika siku za karibuni.