Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WaMaasai wa Kenya watasaidiwa na UM kutunza utamaduni wa jadi

WaMaasai wa Kenya watasaidiwa na UM kutunza utamaduni wa jadi

Shirika la UM juu ya Hakimiliki za Kitaaluma (WIPO) limeripoti kwamba raia wawili wa KiMaasai wa Laikipia, Kenya wamepatiwa fursa ya kwenda Marekani kushiriki kwenye mafunzo maalumu ya Taasisi ya Kuhifadhi Utamaduni wa Kienyeji, mafunzo ambayo yanatarajiwa kuwapatia ujuzi wa kisasa wa kutunza na kuhifadhi nyaraka za utamaduni wao wa jadi, kwa masilahi ya vizazi vijavyo. ~~