Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ripoti ya UNICEF kuonya, watoto duniani bado hulazimishwa kushiriki vitani

Ripoti ya UNICEF kuonya, watoto duniani bado hulazimishwa kushiriki vitani

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limeripoti kwamba tatizo la kuajiri watoto wenye umri mdogo, ambao hushirikishwa kimabavu kwenye vurugu la vita na mapigano, ni suala liliothibitishwa kuendelezwa katika 2008, kinyume na kanuni za kimataifa.