Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR kuhudumia waathiriwa wa hujuma za wageni Afrika Kusini

UNHCR kuhudumia waathiriwa wa hujuma za wageni Afrika Kusini

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR)limeripoti kushiriki kwenye juhudi za kuhudumia misaada ya kihali wale wahamiaji walioathirika karibuni na mashambulio ya chuki za wageni, yaliotukia katika jimbo la Gauteng, kaskazini mashariki katika Afrika Kusini.