Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Waliong'olewa mastakimu Sudan kusini wahitaji kusaidiwa kimataifa kunusuru maisha, OCHA imenasihi

Waliong'olewa mastakimu Sudan kusini wahitaji kusaidiwa kimataifa kunusuru maisha, OCHA imenasihi

Msemaji wa Ofisi ya OCHA, Elizabeth Byrs ameripoti kwamba wakaazi wa mji wa Abyei, Sudan waliokimbilia kusini baada ya kuzuka mapigano kati ya vikosi vya Serikali na kundi la SPLM, nao vile vile wanahitajia kusaidiwa kihali na jumuiya ya kimataifa kabla hali yao ya maisha haijaharibika zaidi.

Sikiliza ripoti katika idhaa ya mtandao.