Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IOM/UNICEF yashirikiana kuhudumia waathiriwa wa mashambulio ya chuki za wageni Afrika Kusini

IOM/UNICEF yashirikiana kuhudumia waathiriwa wa mashambulio ya chuki za wageni Afrika Kusini

Shirika la Kimataifa juu ya Wahamaji (IOM) limeripoti kwamba linashirikiana na UNICEF kuwasaidia waathiriwa wa mashambulio ya chuki za wageni Afrika Kusini kurejea makwao. Msemaji wa IOM Geneva, Jemini Pandya alitupatia fafanuzi zake kuhusu suala hili.